Paulo Dybala akishangilia baada ya kuifungia Juventus mabao mawili dakika za 47 na 69 yote kwa penalti katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Napoli usiku wa jana Uwanja wa Juventus mjini Torino katika Robo Fainali ya kwanza ya Kombe la Italia. Bao lingine la Juve lilifungwa na Gonzalo Higuain dakika ya 64, wakati la Napoli lilifungwa na Jose Callejon dakika ya 36 na sasa Kibibi Kizee cha Turin kinahitaji sare mchezo wa marudiano ili kutinga Nusu Fainali ya Coppa Italia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC accuses schools, supervisors of extorting candidates in ongoing WASSCE
-
By Gabriel Dike The West African Examinations Council (WAEC) on Monday said
it received alarming reports of supervisors and some schools extorting
candid...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment