Mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa England na klabu ya Livepool, John Barnes (katikati) akiwa ameshika jezi ya timu ya taifa ya Tanzania baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam leo kwa ajili ya maazimisho ya miaka 100 ya benki ya Standard Chartered ambayo ni wadhamini wakuu wa klabu ya Liverpool.
Barnes ambaye hii ni zaidi ya mara ya tatu anakuja Tanzania kwa shughuli mbalimbali za kijamii, hapa anazungumza na Waandishi wa Habari
WNBA risks angering fans with Sophie Cunningham message as Fever star
celebrates 30th birthday amid league's trans controversy
-
Cunningham turned 30 years old as the Fever defeated the Atlanta Dream
95-91 in a dramatic overtime thriller on Sunday. She spent the final few
weeks of he...
6 hours ago


.png)
0 comments:
Post a Comment