Mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa England na klabu ya Livepool, John Barnes (katikati) akiwa ameshika jezi ya timu ya taifa ya Tanzania baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam leo kwa ajili ya maazimisho ya miaka 100 ya benki ya Standard Chartered ambayo ni wadhamini wakuu wa klabu ya Liverpool.
Barnes ambaye hii ni zaidi ya mara ya tatu anakuja Tanzania kwa shughuli mbalimbali za kijamii, hapa anazungumza na Waandishi wa Habari
Freddie Flintoff opens up 'learning to accept' the scars of his near-fatal
Top Gear crash as footage is seen for the first time - and reveals details
of his eight-month recovery
-
Speaking on The Jonathan Ross Show, Flintoff admitted he did not leave the
house for around six to seven months as he attempted to cope mentally with
his s...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment