Mwanasoka wa zamani wa kimataifa wa England na klabu ya Livepool, John Barnes (katikati) akiwa ameshika jezi ya timu ya taifa ya Tanzania baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam leo kwa ajili ya maazimisho ya miaka 100 ya benki ya Standard Chartered ambayo ni wadhamini wakuu wa klabu ya Liverpool.
Barnes ambaye hii ni zaidi ya mara ya tatu anakuja Tanzania kwa shughuli mbalimbali za kijamii, hapa anazungumza na Waandishi wa Habari
Wolves vs Liverpool - Premier League LIVE: Latest score and updates as
Mohamed Salah sees penalty shout dismissed before poignant Diogo Jota
tribute - while James Tarkowski scores for Everton vs Burnley
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for this evenings Premier League
fixtures featuring Wolves vs Liverpool, Everton vs Burnley, Bournemouth vs
Brentford a...
37 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment