Wachezaji wa Bayern Munich kutoka kulia Robert Lewandowski, Thiago na Arjen Robben wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Schalke kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Mabao ya Bayern yalifungwa na Lewandowski mawili dakika za tatu na 29 na Thiago Alcantara dakika ya 16. Bayern watakuwa wageni wa Arsenal Machi 7 Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kushinda 5-1 mchezo wa kwanza nyumbani, Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jon Stewart Roasts Kristen Welker’s Plea to Trump During ‘Meet the Press’
Walkout: ‘One of the Worst’ | Video
-
Jon Stewart roasted "Meet the Press" host Kristen Welker over her plea to
Donald Trump during his interview walkout, calling it "one of the worst" in
history.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment