Wachezaji wa Bayern Munich kutoka kulia Robert Lewandowski, Thiago na Arjen Robben wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Schalke kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Mabao ya Bayern yalifungwa na Lewandowski mawili dakika za tatu na 29 na Thiago Alcantara dakika ya 16. Bayern watakuwa wageni wa Arsenal Machi 7 Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kushinda 5-1 mchezo wa kwanza nyumbani, Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
It's 50 days until the World Cup - these are the 50 new stars you HAVEN'T
heard of that you need to know about before they light up this summer's
tournament
-
To give you the expert lowdown before the action even gets going, TOM
COLLOMOSSE has picked out the 50 names you may not have heard of - but soon
will.
6 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment