Wachezaji wa Bayern Munich kutoka kulia Robert Lewandowski, Thiago na Arjen Robben wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Schalke kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Mabao ya Bayern yalifungwa na Lewandowski mawili dakika za tatu na 29 na Thiago Alcantara dakika ya 16. Bayern watakuwa wageni wa Arsenal Machi 7 Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kushinda 5-1 mchezo wa kwanza nyumbani, Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions star Lachie Neale slams COWARDLY fans after copping abuse on
social media following shock AFL loss to Collingwood on Thursday
-
Brisbane Lions co-captain Lachie Neale has delivered a blistering rebuke to
online trolls after a wave of abuse followed the team's shock 52-point loss
to ...
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment