Wachezaji wa Bayern Munich kutoka kulia Robert Lewandowski, Thiago na Arjen Robben wakishangilia baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Schalke kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani usiku wa jana Uwanja wa Allianz Arena. Mabao ya Bayern yalifungwa na Lewandowski mawili dakika za tatu na 29 na Thiago Alcantara dakika ya 16. Bayern watakuwa wageni wa Arsenal Machi 7 Uwanja wa Emirates, London katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya, baada ya kushinda 5-1 mchezo wa kwanza nyumbani, Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo sticks with Saudi: Football superstar's club issue update
after his £61m private jet flew out to Madrid amid imminent attacks
-
Cristiano Ronaldo is still in Saudi Arabia and was pictured with his
Al-Nassr team-mates on Tuesday, ending speculation that he fled the Middle
East amid t...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment