Shabiki wa Borussia Dortmund akiwa ameshika bango lililoandikwa 'All you need is Klopp, all we need is the cup' yaani 'Unachohitaji ni Klopp, tunachohitaji ni Kombe' wakati wa mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League dhidi ya Liverpool inayofundishwa na kocha wao wa zamani, Jugern Klopp. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 Uwanja wa Signal Iduna Park, Dortmund na wiki ijayo zitarudiana Uwanja wa Anfield, Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
LIV Golf analysts issue smug response to reports of 'imminent demise'...
before broadcast humiliatingly crashes
-
The Saudi-backed rebel tour was thrown into chaos on Wednesday amid fierce
claims that it could be scrapped, with execs meeting in New York City for
an eme...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment