Shabiki wa Borussia Dortmund akiwa ameshika bango lililoandikwa 'All you need is Klopp, all we need is the cup' yaani 'Unachohitaji ni Klopp, tunachohitaji ni Kombe' wakati wa mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League dhidi ya Liverpool inayofundishwa na kocha wao wa zamani, Jugern Klopp. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 Uwanja wa Signal Iduna Park, Dortmund na wiki ijayo zitarudiana Uwanja wa Anfield, Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC’s Danladi Envulu-Anza wins Nasarawa North Senate by-election
-
APC candidate Danladi Halilu Envulu-Anza wins the Nasarawa North Senatorial
by-election with 45,362 votes, defeating rivals in the poll.
The post APC’s D...
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment