Shabiki wa Borussia Dortmund akiwa ameshika bango lililoandikwa 'All you need is Klopp, all we need is the cup' yaani 'Unachohitaji ni Klopp, tunachohitaji ni Kombe' wakati wa mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League dhidi ya Liverpool inayofundishwa na kocha wao wa zamani, Jugern Klopp. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1 Uwanja wa Signal Iduna Park, Dortmund na wiki ijayo zitarudiana Uwanja wa Anfield, Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce agrees to new TWO-YEAR extension with the Kansas City Chiefs
and becomes NFL's top-paid tight end ahead of team's historic bid for a
third straight Super Bowl win!
-
Travis Kelce and the Kansas City Chiefs have reached an agreement on a new
two-year extension. NFL Network's Ian Rapoport first reported the news.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment