Beki wa Real Sociedad, Esteban Granero (kulia) akimzuia mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Anoeta. Real imeshinda 1-0, bao pekee la kinda wa miaka 18, Mikel Oyarzabal, huo ukiwa mchezo wa pili mfululizo kupoteza katika La Liga baada ya wiki iliyopita kufungwa 2-1 na mahasimu Real Madrid katika El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Mason Greenwood's transfer price tag - and how Man United could
cash in - as Champions League giants hope to capitalise on chaos at
Marseille
-
Manchester United's summer transfer kitty could be boosted by a sell-on
clause for one of their former players.
10 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment