Beki wa Real Sociedad, Esteban Granero (kulia) akimzuia mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Anoeta. Real imeshinda 1-0, bao pekee la kinda wa miaka 18, Mikel Oyarzabal, huo ukiwa mchezo wa pili mfululizo kupoteza katika La Liga baada ya wiki iliyopita kufungwa 2-1 na mahasimu Real Madrid katika El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
By-elections: Full list of winners in Enugu, Rivers, Ondo, Kano
-
The Independent National Electoral Commission has announced the outcomes of
by-elections held on Saturday in several federal and state constituencies,
wi...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment