Beki wa Real Sociedad, Esteban Granero (kulia) akimzuia mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Anoeta. Real imeshinda 1-0, bao pekee la kinda wa miaka 18, Mikel Oyarzabal, huo ukiwa mchezo wa pili mfululizo kupoteza katika La Liga baada ya wiki iliyopita kufungwa 2-1 na mahasimu Real Madrid katika El Clasico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
James' Lakers knocked out with defeat by Nuggets
-
The Los Angeles Lakers are knocked out of the NBA play-offs by defending
champions, the Denver Nuggets.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment