Nahodha wa zamani wa Nigeria 'Super Eagles', Nwankwo Kanu (kulia) aliyewika klabu za Ajax ya Uholanzi na Arsenal ya England, akikata utepe wakati wa uzinduzi wa duka la Kampuni ya StarTimes jengo la Mkuki Mall, barabara ya Nyerere, Dar es Salaam mchana wa leo. Kanu atakuwa nchini kwa ziara ya siku tano. Kulia kwake ni Mtendaji Mkuu wa StarTimes Tanzania, Lanfang Liao
I want to industrialise Africa, not chase billions — Dangote
-
Africa's richest man and President of the Dangote Group, Aliko Dangote, has
said his greatest ambition is not to accumulate wealth but to leave a
lasting...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment