Francis Coquelin wa Arsenal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Yohan Cabaye wa Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, huku Mile Jedinak akishuhudia. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 45 kabla ya Yannick Bolasie kuwasawazishia wageni dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump sends astonishing warning to Iran soccer team ahead of World
Cup
-
Iran has qualified for this summer's soccer showpiece, which is being
co-hosted by the United States, Canada and Mexico.
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment