Francis Coquelin wa Arsenal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Yohan Cabaye wa Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, huku Mile Jedinak akishuhudia. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 45 kabla ya Yannick Bolasie kuwasawazishia wageni dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
England rugby star Billy Vunipola arrested after violent incident at pub in
Majorca with police tasering him twice after he threatened customers and
staff with bottles and chairs
-
The 31-year-old had to be tasered twice after police rushed to a bar called
Epic in the island capital Palma following calls from security staff.
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment