Francis Coquelin wa Arsenal akienda chini baada ya kuchezewa rafu na Yohan Cabaye wa Crystal Palace katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, huku Mile Jedinak akishuhudia. Timu hizo zimetoka sare ya kufungana 1-1, bao la Arsenal likifungwa na Alexis Sanchez dakika ya 45 kabla ya Yannick Bolasie kuwasawazishia wageni dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
King Charles secures major victory as Trump makes unexpected move after
royal meeting
-
King Charles III is set to raise a celebratory dram after Donald Trump
announced he will remove tariffs on Scottish whisky. See details.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment