Mshambuliaji Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Vitality. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Daniel Sturridge wakati la Bournemouth limefungwa na Joshua King PICHA ZAIDI GONGA JAPA
Teenager Suryavanshi smashes 15-ball fifty in IPL
-
Vaibhav Suryavanshi, 15, continues his astonishing run of form in the IPL
as Rajasthan Royals beat Royal Challengers Bengaluru by six wickets.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment