Mshambuliaji Roberto Firmino akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kwanza dakika ya 41 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Vitality. Bao lingine la Liverpool limefungwa na Daniel Sturridge wakati la Bournemouth limefungwa na Joshua King PICHA ZAIDI GONGA JAPA
'Stupid rumours' need to stop - Pochettino
-
Chelsea manager Mauricio Pochettino says the "stupid rumours’ about his
future need to end but admitted that he does not know if he and his staff
will be a...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment