Mshambuliaji wa West Ham, Andy Carroll (kushoto) akiutelezea mpira miguuni mwa beki wa Arsenal, Laurent Koscielny katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Boleyn Ground, London. Timu hizo zimetoka sare ya 3-3, mabao yote ya West Ham yamefungwa na Andy Carroll, wakati ya Arsenal yamefungwa na Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Koscielny PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'I might not be here' - Stokes on being hit in face by ball
-
England captain Ben Stokes says he "got out quite lucky" with major facial
surgery after an incident in the nets at Durham.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment