Mshambuliaji wa West Ham, Andy Carroll (kushoto) akiutelezea mpira miguuni mwa beki wa Arsenal, Laurent Koscielny katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Boleyn Ground, London. Timu hizo zimetoka sare ya 3-3, mabao yote ya West Ham yamefungwa na Andy Carroll, wakati ya Arsenal yamefungwa na Mesut Ozil, Alexis Sanchez na Koscielny PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Arsenal wonderkid 'attempted to force tenants out by peering through
living room blinds and moving in with his family' - as he is accused in
court of making their lives 'hell'
-
McGregor, who moved into the home with her mum, Fay, revealed the former
Arsenal wonderkid, who was present in court, had made her life 'hell'.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment