Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale akiondoka na mpira usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real katika mchezo wa kwanza wa kocha mpya Zinadine Zidane, yamefungwa na Karim Benzema mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stocks may start to discount the possibility that the war won’t be short,
Yardeni
-
Investing.com -- Stocks declined as oil prices returned to around $100 a
barrel, with Yardeni Research warning in a note on Friday that markets may
be star...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment