Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale akiondoka na mpira usiku wa jana Uwanja wa Bernabeu baada ya kufunga mabao matatu peke yake katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Deportivo La Coruna kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real katika mchezo wa kwanza wa kocha mpya Zinadine Zidane, yamefungwa na Karim Benzema mawili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thierry Henry, 48, reveals the three secrets behind his new muscular
physique, as Arsenal legend works out with partner Andrea Rajacic
-
Thierry Henry may have long retired from his legendary playing career but
the ex-Arsenal and Barcelona striker is still in formidable shape.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment