Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC national scribe leads governorship campaign in Osun, assures of
improved civil servants’ welfare
-
The National Secretary of the All Progressives Congress (APC), Ajibola
Basiru, led the party’s gubernatorial campaign in Ila-Orangun on Monday,
throwing ...
23 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment