Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal's swoop for Sao Paulo's Marquinhos hits roadblock as he has already signed deal with Wolves
-
The 19-year-old had been expected to complete a move to Arsenal this
summer. But it has emerged that he already inked a pre-contract agreement
to join Wolves.
Dakika 10 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni