Mshambuliaji wa Barcelona, Neymar akiifungia timu yake bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Athletic Bilbao kwenye mchezo wa Kombe la Mfalme usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou na kutinga Nusu Fainali. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez na Gerard Pique wakati la Bilbao limefungwa na Inaki Williams PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Verizon (VZ): Buy, Sell, or Hold Post Q1 Earnings?
-
Verizon trades at $44.98 and has moved in lockstep with the market. Its
shares have returned 7.9% over the last six months while the S&P 500 has
gained 10%.
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment