Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke (kushoto), akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa West Ham United katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA England usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zimetoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana kutafuta timu ya kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Democrat Manzur files candidacy for US Senate
-
Manzur labeled her opponents corrupt as she described herself as an
alternative to candidates with bigger fundraising numbers.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment