Mshambuliaji wa Liverpool, Christian Benteke (kushoto), akienda hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa West Ham United katika mchezo wa Raundi ya Nne ya Kombe la FA England usiku wa leo Uwanja wa Anfield. Timu hizo zimetoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana kutafuta timu ya kusonga mbele PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chelsea will 'rival Man City for Jamal Musiala' as Blues look to 'bring
former youth star back to England' after starring for Bayern Munich
-
Chelsea are ready to rival Manchester City for Jamal Musiala as Premier
League clubs keep tabs on the Bayern Munich star who has two years
remaining on his...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment