Kiungo wa Barcelona, Sergio Busquets akipasua katikati ya wachezaji wa Athletic Bilbao katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Kombe Mfalme. Barcelona iliyocheza bila washambuliaji wake wawili nyota Lionel Messi na Luis Suarez imeshinda 2-1 Uwanja wa San Mames Barris, mabao ya Neymar na Munir El Haddadi, wakati bao la wenyeji limefungwa na Aduriz Zubeldia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Billam-Smith fight set to proceed despite legal challenge
-
Zuffa Boxing's first show in the UK, featuring Chris Billam-Smith, appears
set to take place on Saturday despite legal action from rival promoter
Boxxer.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment