Rais wa Shirikisho la Soka Asia (AFC) na Makamu wa Rais wa (FIFA), Sheikh Salman Bin Ebrahim Al Khalifa (kushoto) akiwa katika ofisi za Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) leo wakati alipotembelea katika ziara yake ya siku mbili nchini tangu jana alipowasili. Wengine ni Rais wa TFF, Jamal Malinzi (katikati) na Selestine Mwesigwa (kushoto). Sheikh Khalifa pia alitembelea ofisi za Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo na kufanya mazungmzo mafupi na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Profesa Elisante Ole Gabriel
Two Girona stars rushed to hospital after nasty training ground accident
with coach Michel admitting 'it looks bad'
-
Brazil international Yan Couto, 21, and Spanish centre-back Juanpe, 32,
both suffered injuries with coach Michel saying their situation 'looks bad'.
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment