Mshambuliaji wa timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa 20 ya Tanzania, Abubakar Mkangwa (kushoto) akipambana na wachezaji wa timu ya Ghana katika mchezo wa kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika uliofanyika mwaka 1998 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Mchezaji mwingine wa Tanzania kulia ni Abdallah Saleh Sabebe.
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni