Mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino (kushoto) akiifungia timu yake bao la kwanza kati ya mawili aliyofunga katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Norwich City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Jordan Henderson, James Milner na Adam Lallana, wakati ya Norwich yamefungwa na Dieudonne Mbokani Bezua, Steven Naismith, Wes Hoolahan kwa penalti na Sebastien Bassong PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hint of rainy season might be coming for Tampa Bay next week
-
Dry weather for Tampa Bay this weekend.
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment