Mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino (kushoto) akiifungia timu yake bao la kwanza kati ya mawili aliyofunga katika ushindi wa 5-4 dhidi ya Norwich City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Carrow Road. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Jordan Henderson, James Milner na Adam Lallana, wakati ya Norwich yamefungwa na Dieudonne Mbokani Bezua, Steven Naismith, Wes Hoolahan kwa penalti na Sebastien Bassong PICHA ZAIDI GONGA HAPA
‘Santa Clause’ Star Makes Surprising Admission About Disney Paychecks
-
For many fans, “The Santa Clause” is a Christmas staple that returns year
after year during the holiday season. But The ‘Santa Clause’ Star Makes
Surprisin...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment