Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi leo dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na El Haddadi Mohamed Munir, wakati la Malaga limefungwa na Juan Pablo Anor PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Keepers: We need to respect Coventry
-
Two of our stoppers are clear on what United's mindset should be at Wembley
on Sunday.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment