• HABARI MPYA

    Saturday, January 23, 2016

    MESSI AFUNGA LA USHINDI, BARCELONA YASHINDA 2-1 UGENINI LA LIGA

    Nyota wa Barcelona, Lionel Messi akikimbia kushangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi leo dhidi ya wenyeji, Malaga Uwanja wa La Rosaleda katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na El Haddadi Mohamed Munir, wakati la Malaga limefungwa na Juan Pablo Anor PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MESSI AFUNGA LA USHINDI, BARCELONA YASHINDA 2-1 UGENINI LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top