Viungo Yaya Toure (kushoto) wa Manchester City akipambana na Alex Song wa West Ham United jana Uwanja wa Upton Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Timu hizo zilitoka 2-2, mabao ya City yote yalifungwa na Sergio Aguero la kwanza kwa penalti na lingine dakika za lala salama baada kuukuta mpira kwenye boksi, wakati ya West Ham pia yote yamefungwa na Enner Valencia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thunder's Chet Holmgren Hypes Shai Gilgeous-Alexander as NBA MVP After
Playoff Win
-
Chet Holmgren let the world know. After the Oklahoma City Thunder jumped
out to a 2-0 series lead over the New Orleans Pelicans in their first-round
matchup…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment