Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Alexandre Pato akikabidhiwa jezi ya Chelsea na Mkurugenzi wa Ufundi wa klabu hiyo, Michael Emenalo makao makuu ya klabu hiyo, viwanja vya mazoezi vya Cobham jana baada ya kusaini mkopo wa hadi mwisho wa msimu kutoka Corinthians ya kwao, Brazil PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cameron Young breaks Matt Fitzpatrick's heart to win Players Championship
and take home $4.5m prize money after dramatic final round
-
After Ludvig Aberg threw away a final-round lead, Young made a crucial
birdie on the par-three 17th to set up a one-hole showdown with England's
world No 24.
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment