Bryan Oviedo wa Everton (kushoto) akipambana na Ki Sung-Yueng wa Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Goodison Park. Swansea imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti baada ya Tim Howard kumchezea rafu Andre Ayew, aliyefunga bao la pili, wakati la Everton limefungwa na Jack Cork aliyejifunga kutokana na mpira wa Gareth Barry PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kevin De Bruyne is 'better than Gerrard, Lampard, Silva and Toure' and is
No 1 midfielder in Premier League history, claims Jamie Redknapp after
Belgian's ridiculous header from 15 yards
-
Sky Sports pundit Jamie Redknapp believes Kevin De Bruyne's ability to
produce things that are 'out of this world' elevates him to be the best
midfielder i...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment