Bryan Oviedo wa Everton (kushoto) akipambana na Ki Sung-Yueng wa Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Goodison Park. Swansea imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti baada ya Tim Howard kumchezea rafu Andre Ayew, aliyefunga bao la pili, wakati la Everton limefungwa na Jack Cork aliyejifunga kutokana na mpira wa Gareth Barry PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Billam-Smith fight set to proceed despite legal challenge
-
Zuffa Boxing's first show in the UK, featuring Chris Billam-Smith, appears
set to take place on Saturday despite legal action from rival promoter
Boxxer.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment