Bryan Oviedo wa Everton (kushoto) akipambana na Ki Sung-Yueng wa Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Goodison Park. Swansea imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Gylfi Sigurdsson kwa penalti baada ya Tim Howard kumchezea rafu Andre Ayew, aliyefunga bao la pili, wakati la Everton limefungwa na Jack Cork aliyejifunga kutokana na mpira wa Gareth Barry PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Star power: Viewership for Game 1 of NBA Finals up 90% over last year's
series opener
-
SAN ANTONIO (AP) — The star power of Victor Wembanyama and Jalen Brunson
helped this year's NBA Finals get off to a huge start in terms of
viewership, the ...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment