MTANZANIA AMDUNDA MRUSI KWA KO RAUNDI YA TATU CHINA
Bondia Abdallah Pazi ‘Dullah Mbabe’ wa Tanzania akiinuliwa mkono kutangazwa mshindi baada ya ushindi wa Technical Knockout (TKO) raundi ya tatu dhidi ya Andrey Kalyuzhnny wa Urusi ukumbi wa Shanghai Oriental Sports Center mjini Shanghai, China Jumamosi katika pambano lisilo la ubingwa la uzito wa Super Middle. Kushoto mwenye nguo za kijani ni kocha wa Dullah Mbabe, Mtanzania mwenzake, Emmanuel Mlundwa akifurahia kazi yake nzuri
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment