Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo, Emmanuel Adebayor akiwa ameshika jezi ya Crystal Palace baada ya kukamilisha uhamisho wake jana kwa Mkataba wa hadi mwishoni mwa msimu, ambao unaweza kuongezwa iwapo atafanya vizuri. Adebayor amekuwa nje ya Uwanja tangu mwanzoni mwa msimu baada ya kuachwa Tottenham Hotspur ingawa itaendelea kumlipa Pauni 30,000 kwa wiki badala ya 100,000 kwa sababu bado ana Mkataba nayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Forced hugs, dressing room tirades and the moment the Man City hierarchy
began to lose faith: Pep Guardiola bares his soul in new Amazon Prime
docuseries, writes JACK GAUGHAN - and it's clear to see why boss knew
change was necessary
-
JACK GAUGHAN: Even when signing his final new contract in November 2024,
Pep Guardiola knew that change would soon be necessary at Manchester City .
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment