Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo, Emmanuel Adebayor akiwa ameshika jezi ya Crystal Palace baada ya kukamilisha uhamisho wake jana kwa Mkataba wa hadi mwishoni mwa msimu, ambao unaweza kuongezwa iwapo atafanya vizuri. Adebayor amekuwa nje ya Uwanja tangu mwanzoni mwa msimu baada ya kuachwa Tottenham Hotspur ingawa itaendelea kumlipa Pauni 30,000 kwa wiki badala ya 100,000 kwa sababu bado ana Mkataba nayo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Graham Potter signs four-year contract extension as Sweden manager despite
overseeing just TWO games since his appointment - and he hasn't registered
a win yet!
-
Graham Potter has signed a four-year contract extension as Sweden head
coach, keeping him in post until 2030 despite the Englishman failing to
record a win...
19 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment