OSAMA ALICHEZA MUDA MFUPI TU YANGA, LAKINI WALIMTAMBUA!
Kiungo wa Yanga SC, Geoffrey Mangenge 'Osama' akiruka na kipa wa Kajumulo WS katika mchezo wa iliyokuwa Ligi Kuu ya Muungano mwaka 1999 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru), Dar es Salaam. Kiungo huyo aliyeichezea Kenya katika Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2004 nchini Tunisia, alidumu Yanga kwa misimu miwili tu, 1999 na 2000, lakini bado anakumbukwa Jangwani.
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment