Mshambuliaji Alexis Sanchez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal, wakiwemo Alex Iwobi (kushoto) na Kieran Gibbs (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 53 wakiichapa 2-1 Burnley katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na beki Calum Chambers dakika ya 19, wakati bao la Burnley lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Elijah Jones NFL Draft 2024: Scouting Report for Boston College CB
-
HEIGHT: 6'2" WEIGHT: 185 HAND: 9¼" ARM: 31½" WINGSPAN: 76" 40-YARD DASH:
4.44 3-CONE: 7.07 SHUTTLE: 4.25 VERTICAL: 42.5" BROAD: 10'11" POSITIVES —
Very good…
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment