Mshambuliaji Alexis Sanchez akipongezwa na wachezaji wenzake wa Arsenal, wakiwemo Alex Iwobi (kushoto) na Kieran Gibbs (kulia) baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya 53 wakiichapa 2-1 Burnley katika mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA usiku wa leo Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal limefungwa na beki Calum Chambers dakika ya 19, wakati bao la Burnley lilifungwa na Sam Vokes dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tim Anderson Told Donaldson They Didn't Have to Talk Again After 2019 'Jackie' Remark
-
Tim Anderson told reporters on Tuesday that when Josh Donaldson “I told
him, we never have to talk again,” Anderson said. “I won’t speak to you,
you...
Dakika 18 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni