Kiungo wa KCC, Jackson Mayanja (kushoto) akikimbia na mpira kuurudisha kati uanze baada ya kuifungia timu yake katika ushindi wa 2-0 dhidi ya SC Villa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya Uganda mwaka 1997 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala. Mayanja kwa sasa ni kocha wa Simba SC na mbali na KCC alicheza pia SC Villa na timu ya taifa ya Uganda, The Cranes
Brendon McCullum wants England to take risks to become the best Team team in the world
-
The Kiwi, boldly chosen by Rob Key to drag England off the bottom of the
World Test Championship, will look at how his friend, Eoin Morgan,
transformed Eng...
Dakika 44 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni