Mchezaji wa Aston Villa, Jordan Veretout (kushoto) akipambana na mchezaji wa Leicester City, Marc Albrighton (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Villa Park. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la Villa likifungwa na Rudy Gestede likiwa la kusawazisha dakika ya 75, baada ya Shinji Okazaki kutangulia kuifungia Leicester dakika ya 28, katika mchezo ambao Riyad Mahrez aliwakosesha bao la ushindi The Foxes baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa Mark Bunn kipindi cha kwanza, kufuatia Aly Cissokho kuunawa mpira kwenye eneo la hatari baada ya shuti la Mualgeria huyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville gives his verdict on the touchline spat between Mo Salah and
Jurgen Klopp as the Man United legend insists 'there will only be ONE
winner' from the fiery clash
-
Liverpool's problems were highlighted at the London Stadium over the
weekend when Klopp and Salah could be seen getting visibly angry with each
other befor...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment