Mchezaji wa Aston Villa, Jordan Veretout (kushoto) akipambana na mchezaji wa Leicester City, Marc Albrighton (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Villa Park. Timu hizo zimetoka sare ya 1-1, bao la Villa likifungwa na Rudy Gestede likiwa la kusawazisha dakika ya 75, baada ya Shinji Okazaki kutangulia kuifungia Leicester dakika ya 28, katika mchezo ambao Riyad Mahrez aliwakosesha bao la ushindi The Foxes baada ya mkwaju wake wa penalti kuokolewa na kipa Mark Bunn kipindi cha kwanza, kufuatia Aly Cissokho kuunawa mpira kwenye eneo la hatari baada ya shuti la Mualgeria huyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'No-one's going to explode' - Enhanced chief says Games will change minds
-
The first staging of the Enhanced Games - an event allowing the use of
banned performance-enhancing drugs - will change perceptions says its new
chief exec...
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment