AZAM FC WALIVYOJIFUA LEO NDOLA KUJIANDAA KWA MECHI NA WAZIMBABWE KESHO
Wachezaji wa Azam FC, Allan Wanga (kulia) na Said Mpourad (kushoto) wakifanya mazoezi asubuhi ya leo mjini Ndola, Zambia kujiandaa na mchezo wa kesho dhidi ya Mabingwa wa Zimbabwe, Chicken Inn, utakaoanza Saa 8.00 mchana
Himid Mao (kulia) na Khamis Mcha 'Vialli' (kushoto) wakijifua leo Ndola
MAELEZO Yakusanya Zaidi ya Milioni 354
-
Idara ya Habari – MAELEZO imekusanya jumla ya shilingi 354,190,750 sawa na
asilimia 199 katika mwaka wa fedha 2021/2022. Waziri wa Habari, Mawasiliano
na T...
TBS YAKUTANA NA WAHARIRI DAR
-
Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Lazaro
Msasalaga ( wa pili kushoto) akizungumza wakati wa jukwaa la wahariri wa
vyom...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 maoni:
Chapisha Maoni