Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Sporting Gijon kwenye mchezo wa La Liga usiku huu Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real yamefungwa na Karim Benzema mawili na Gareth Bale moja, wakati la Gijon limefungwa na Isma Lopez PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I thought I edged it - Carey on review reprieve
-
Australia wicketkeeper Alex Carey says he thought he edged the ball when he
was given not out on review during day one of the third Ashes Test.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment