Gabriel wa Arsenal akiutelezea mpira kwenye miguu ya Diego Costa wa Chelsea kumzuia bila mafanikio kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates leo. Chelsea imeshinda 1-0, bao pekee la Costa katika mchezo ambao beki wa Arsenal, Per Mertesacker alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mfungaji huyo wa bao a The Blues PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bobby Tambling obituary
-
Striker who overcame his natural diffidence as Chelsea’s ebullient record
goal scorer in the 1960s
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment