Gabriel wa Arsenal akiutelezea mpira kwenye miguu ya Diego Costa wa Chelsea kumzuia bila mafanikio kufunga katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Emirates leo. Chelsea imeshinda 1-0, bao pekee la Costa katika mchezo ambao beki wa Arsenal, Per Mertesacker alitolewa kwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu mfungaji huyo wa bao a The Blues PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham winning jockey whose mum tried to find him a girlfriend on live
TV releases hilarious video dating profile - and lists 'riding horses' as
one of his hobbies!
-
Tom Bellamy, 31, rode 40/1 shot White Noise to victory in the Mares'
Novices' Hurdle on the third day of the festival, with the horse powering
through to c...
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment