Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Lionel Messi dakika ya 30, wakati la Atletico limefungwa na Koke dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Case of Halifax youth accused of online extremism shifted to restorative
justice
-
HALIFAX — The case against a Halifax youth accused of being part of a
violent extremist group has been referred to Nova Scotia’s restorative
justice progra...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment