Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Lionel Messi dakika ya 30, wakati la Atletico limefungwa na Koke dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Christian Eriksen collapses on the pitch for Denmark during friendly
against Ukraine as match is abandoned - almost five years since playmaker's
cardiac arrest at Euro 2020
-
Christian Eriksen collapsed on the pitch during Denmark's friendly against
Ukraine on Sunday.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment