Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Lionel Messi dakika ya 30, wakati la Atletico limefungwa na Koke dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hawthorn prepares for match in Darwin's humidity by coating balls in DISHWASHING LIQUID at training
-
In an unusual move for an AFL side, the Hawthorn Hawks have been preparing
for Darwin conditions by coating the balls in soapy water ahead of their
clash a...
Dakika 8 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni