Mshambuliaji Luis Suarez akipiga ngumi hewani baada ya kuifungia Barcelona bao la ushindi dakika ya 38 wakiilaza 2-1 Atletico Madrid leo Uwanja wa Camp Nou katika mchezo wa La Liga. Bao lingine la Barca limefungwa na Lionel Messi dakika ya 30, wakati la Atletico limefungwa na Koke dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
APC national scribe leads governorship campaign in Osun, assures of
improved civil servants’ welfare
-
The National Secretary of the All Progressives Congress (APC), Ajibola
Basiru, led the party’s gubernatorial campaign in Ila-Orangun on Monday,
throwing ...
23 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment