Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la Ligi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Manchester City ambayo sasa inatinga fainali ya Capital One Cup kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 na Everton ugenini na watamenyana na Liverpool Februari 28 Uwanja wa Wembley, yamefungwa na Fernandinho na Kevin De Bruyne wakati la Everton limefungwa na Ross Barkley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
June 5,2026: Heavy rain on the way
-
Chief Meteorologist Damon Lane shows the timeline of heavy rain moving in
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment