Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la Ligi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Manchester City ambayo sasa inatinga fainali ya Capital One Cup kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 na Everton ugenini na watamenyana na Liverpool Februari 28 Uwanja wa Wembley, yamefungwa na Fernandinho na Kevin De Bruyne wakati la Everton limefungwa na Ross Barkley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham winning jockey whose mum tried to find him a girlfriend on live
TV releases hilarious video dating profile - and lists 'riding horses' as
one of his hobbies!
-
Tom Bellamy, 31, rode 40/1 shot White Noise to victory in the Mares'
Novices' Hurdle on the third day of the festival, with the horse powering
through to c...
16 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment