Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Everton usiku wa jana kwenye mchezo wa Kombe la Ligi Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Manchester City ambayo sasa inatinga fainali ya Capital One Cup kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kufungwa 2-1 na Everton ugenini na watamenyana na Liverpool Februari 28 Uwanja wa Wembley, yamefungwa na Fernandinho na Kevin De Bruyne wakati la Everton limefungwa na Ross Barkley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cooper DeJean, Kool-Aid McKinstry's Top Landing Spots After Day 1 of 2024
NFL Draft
-
The top cornerbacks in the 2024 NFL draft had to be patient during
Thursday's opening round, as nobody from the position was selected until
the Philadelphia…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment