Kiungo wa Tottenham Hotspur, Christian Eriksen akiteleza chini Uwanja wa White Hart Lane kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Sunderland leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Mousa Dembele na Harry Kane kwa penalti, wakati la Sunderland limefungwa na Patrick van Aanholt PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: The top six stars in the FWA Footballer of the Year voting as
Phil Foden is crowned the winner - with just TWO foreign players included
-
Foden, 23, has enjoyed his best season to date amid City's push for an
astonishing fourth successive Premier League title, emerging Pep
Guardiola's most im...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment