Kiungo wa Tottenham Hotspur, Christian Eriksen akiteleza chini Uwanja wa White Hart Lane kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Sunderland leo. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Mousa Dembele na Harry Kane kwa penalti, wakati la Sunderland limefungwa na Patrick van Aanholt PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Stocks may start to discount the possibility that the war won’t be short,
Yardeni
-
Investing.com -- Stocks declined as oil prices returned to around $100 a
barrel, with Yardeni Research warning in a note on Friday that markets may
be star...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment