AZAM FC, MAFUNZO WALIVYOIPA 'MKONO WA KWAHERI' MICHUANO YA MAPINDUZI 2016
Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Herman Tchetche akiwatoka wachezaji wa Mafunzo katika mchezo wa Kundi B jana jioni Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Mafuno ilishinda 2-1, lakini zote zimeaga michuano hiyo huku Yanga SC na Mtibwa Sugar zikitinga Nusu Fainali
Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akipiga mpira mbele ya beki wa Mafunzo, Samih Haji Nuhu
Mshambuliajia wa Azam FC, Allan Wanga (kushoto) akiwania mpira wa juu dhidi ya beki wa Mafunzo
Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' akipambana na beki wa Mafunzo, Juma Othman
Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni akimuacha chini beki wa Mafunzo jana Uwanja wa Amaan
Winga Farid Mussa wa Azam FC, akiwageuza mabeki wa Mafunzo
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment