Mshambuliaji Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool hat-trick katika ushindi wa 6-1 Southampton kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi jana Uwanja wa St Mary's. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge mawili na Jordon Ibe moja, wakati la Southampton lilifungwa na Sadio Mane. Liverpool sasa itamenyana na Stoke City katika Nusu Fainali, wakati Everton itamenyana na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How neurologists 'signed off' on Bayern star Jamal Musiala
playing again between two terrifying on-pitch collapses in just four days -
and he could return this weekend
-
Bayern Munich's honorary president confirmed the club had been aware of
Musiala's condition and had sought confirmation from neurologists that the
attacker...
8 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment