Mshambuliaji Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool hat-trick katika ushindi wa 6-1 Southampton kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi jana Uwanja wa St Mary's. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge mawili na Jordon Ibe moja, wakati la Southampton lilifungwa na Sadio Mane. Liverpool sasa itamenyana na Stoke City katika Nusu Fainali, wakati Everton itamenyana na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star makes heartbreaking confession about her baby son after doing
the unthinkable when she found out she was pregnant: 'I'm not sure I want
him'
-
Brisbane Broncos star Shannon Mato has turned her life around after
learning she was expecting in early 2025.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment