Mshambuliaji Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool hat-trick katika ushindi wa 6-1 Southampton kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi jana Uwanja wa St Mary's. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge mawili na Jordon Ibe moja, wakati la Southampton lilifungwa na Sadio Mane. Liverpool sasa itamenyana na Stoke City katika Nusu Fainali, wakati Everton itamenyana na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Graham Potter signs four-year contract extension as Sweden manager despite
overseeing just TWO games since his appointment - and he hasn't registered
a win yet!
-
Graham Potter has signed a four-year contract extension as Sweden head
coach, keeping him in post until 2030 despite the Englishman failing to
record a win...
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment