Mshambuliaji Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool hat-trick katika ushindi wa 6-1 Southampton kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi jana Uwanja wa St Mary's. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge mawili na Jordon Ibe moja, wakati la Southampton lilifungwa na Sadio Mane. Liverpool sasa itamenyana na Stoke City katika Nusu Fainali, wakati Everton itamenyana na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How many points did Victor Wembanyama score? Spurs vs. Hawks stats
-
Victor Wembanyama led the Spurs in points and rebounds despite coming off
the bench in the victory over the Hawks.
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment