Mshambuliaji Divock Origi akishangilia baada ya kuifungia Liverpool hat-trick katika ushindi wa 6-1 Southampton kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Kombe la Ligi jana Uwanja wa St Mary's. Mabao mengine ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge mawili na Jordon Ibe moja, wakati la Southampton lilifungwa na Sadio Mane. Liverpool sasa itamenyana na Stoke City katika Nusu Fainali, wakati Everton itamenyana na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Uzbekistan 1-3 Colombia: Luis Diaz and Co survive scare from World Cup
debutants in Mexico City
-
JEFF POWELL IN MEXICO CITY: Colombia have long been looked down upon as the
poor cousins of South American football when it comes to World Cups.
4 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment