• HABARI MPYA

    Wednesday, June 29, 2022

    SIMBA SC YAMALIZA LIGI KWA SARE SONGEA


    MABINGWA wa zamani wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, Simba SC wamelazimishwa sare ya bila kufungana na wenyeji, Mbeya Kwanza katika mchezo wa mwisho wa msimu leo Uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma. 



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAMALIZA LIGI KWA SARE SONGEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top