JIJI la Dar es Salaam jana lilikuwa ni kijani na njano, wakati wa mapokezi ya mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu, Yanga pale JNIA wakitokea Mbeya ambako juzi walikabidhiwa Kombe lao na msafara ulikwenda makao makuu ya klabu, Jangwani kupitia Msimbazi, kwenye klabu ya mahasimu wao, Simba na baadaye sherehe kwa mfadhili wao, GSM pale Samora kabla ya kumalizia Kidimbwi.
Eagles' Dallas Goedert: 'Very High' Chance of Return from Arm Injury vs.
Cowboys
-
Philadelphia Eagles tight end Dallas Goedert, who has missed a month after
suffering a fracture in his right forearm, believes he has a great chance
to ret...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment