JIJI la Dar es Salaam jana lilikuwa ni kijani na njano, wakati wa mapokezi ya mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu, Yanga pale JNIA wakitokea Mbeya ambako juzi walikabidhiwa Kombe lao na msafara ulikwenda makao makuu ya klabu, Jangwani kupitia Msimbazi, kwenye klabu ya mahasimu wao, Simba na baadaye sherehe kwa mfadhili wao, GSM pale Samora kabla ya kumalizia Kidimbwi.
Knicks watch party in New York City descends into mass brawl as cops deploy
pepper spray in disgraceful scenes
-
Zohran Mamdani announced a short-notice big-screen viewing at Bryant Park
after the visit of president Donald Trump to MSG forced the cancelation of
a prev...
8 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment