• HABARI MPYA

    Monday, June 27, 2022

    MAPOKEZI HADI SHEREHE ZA UBINGWA ZILIVYOFANA YANAG

    JIJI la Dar es Salaam jana lilikuwa ni kijani na njano, wakati wa mapokezi ya mabingwa wa Ligi Kuu msimu huu, Yanga pale JNIA wakitokea Mbeya ambako juzi walikabidhiwa Kombe lao na msafara ulikwenda makao makuu ya klabu, Jangwani kupitia Msimbazi, kwenye klabu ya mahasimu wao, Simba na baadaye sherehe kwa mfadhili wao, GSM pale Samora kabla ya kumalizia Kidimbwi. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAPOKEZI HADI SHEREHE ZA UBINGWA ZILIVYOFANA YANAG Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top