• HABARI MPYA

    Sunday, June 19, 2022

    KAGERA SUGAR YATOA SARE 1-1 NA DODOMA JIJI KAITABA

    WENYEJI, Kagera Sugar jana walilazimshwa sare ya 1-1 na Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bata Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba.
    Waziri Junior alianz akuifungia Dodoma Jiji dakika ya 60, kabla ya Abeid Athumani kuisawazishia Kagera Sugar kwa penalti dakika ya 83.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KAGERA SUGAR YATOA SARE 1-1 NA DODOMA JIJI KAITABA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top