• HABARI MPYA

    Saturday, June 04, 2022

    UCHAGUZI YANGA KUFANYIKA JULAI 10 DAR


    UCHAGUZI Mkuu wa klabu ya Yanga utafanyika Julai 10, mwaka huu Jijini Dar es Salaam. 
    Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya klabu hiyo, Wakili Malangwe Mchungahela amesema kwamba Matawi yote yanatakiwa kuwa yamekamilisha chaguzi zake ndani ya wiki mbili.




    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UCHAGUZI YANGA KUFANYIKA JULAI 10 DAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top