RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa mradi mkubwa wa kisasa wa michezo eneo la Fumba, visiwani humo.
Mradi huo utakuwa na viwanja vikubwa vya michezo ikiwemo uwanja wenye hadhi ya Olimpiki, uwanja mkubwa wa kandanda, kriket na hoteli kubwa ya kisasa na unasimamiwa na kampuni ya JHIL ya India.
0 comments:
Post a Comment