• HABARI MPYA

    Tuesday, June 28, 2022

    WACHEZAJI AZAM FC WAPANDISHA BENDERA YAO MLIMA KILIMANJARO

    KIKOSI cha Azam FC juzi kilipanda Mlima Kilimanjaro na kupandisha bendera yake kwenye kilele cha Mlima huo ikiwa ni ishara ya kuunga mkono juhudi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan za kutangaza utalii wa nchi, kupitia ziara yake ya Royal Tour.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WACHEZAJI AZAM FC WAPANDISHA BENDERA YAO MLIMA KILIMANJARO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top