LIGI Kuu ya Vijana Tanzania Bara chini ya umri wa miaka 20 inatarajiwa kuanza leo Jijini Dar es Salaam kwa mechi mbili kupigwa viwanja tofauti; African Sports ya Tanga na Yanga Saa 9:30 Alasiri na JKT Tanzania na JKM Park Saa 11:30 jioni Uwanja wa JMK Park.
0 comments:
Post a Comment