BAO la Baraka Mwalubunju dakika ya 67 limeipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.
Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi 35 na kupanda nafasi ya saba, wakati Ruvu Shooting inabaki na pointi zake 28 nafasi ya 13 baada ya wote kucheza mechi 28 sasa.
NBA Finals 2026: Wembanyama, Spurs beat Knicks in Game 3
-
Victor Wembanyama recorded a game-high 32 points to help the San Antonio
Spurs beat the New York Knicks on Monday in Game 3 of the NBA Finals.
6 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment