BAO la Baraka Mwalubunju dakika ya 67 limeipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.
Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi 35 na kupanda nafasi ya saba, wakati Ruvu Shooting inabaki na pointi zake 28 nafasi ya 13 baada ya wote kucheza mechi 28 sasa.
Maxx Justice dead at 63: WWE legend killed after being hit by a vehicle
while cycling home - as tributes pour in for former wrestler
-
Tributes have been paid to wrestler Maxx Justice, who has died at the age
of 63 after being hit by a car last week.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment