BAO la Baraka Mwalubunju dakika ya 67 limeipa Mbeya City ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Ruvu Shooting katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani.
Kwa ushindi huo, Mbeya City inafikisha pointi 35 na kupanda nafasi ya saba, wakati Ruvu Shooting inabaki na pointi zake 28 nafasi ya 13 baada ya wote kucheza mechi 28 sasa.
LeBron James and the Lakers keep their NBA playoff hopes alive as LA's star
man puts up 30 points in 119-108 win over the Nuggets to reduce series
deficit to 3-1 and set up crucial fifth game
-
LeBron James scored 30 points to help the Los Angeles Lakers stave off
elimination with a 119-108 win over the Denver Nuggets on Saturday night in
Game 4 o...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment