YUSSUF BAKHRESA ASHUSHA KIFAA CHA IVORY COAST AZAM
KLABU ya Azam FC imemsajili kiungo mshambuliaji, Kipre Junior Zunon kutokea Sol FC ya kwao, Ivory Coast kwa mkataba wa miaka mitatu, zoezi ambalo limefanikishwa na Mkurugenzi wa klabu hiyo, Yussuf Bakhresa akishirikiana na Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin ‘Popat’.
0 comments:
Post a Comment