MWENYEKITI wa Yanga, Dk Mbette Mshindo Msolla atagombea Urais wa klabu dhidi ya wanachama wengine wawili waliojitokeza hadi sasa.
Hao ni Hersi Ally Said, Mkurugenzi wa Uwekezaji wa kampuni ya GSM, washirika wakuu wa Yanga na Said Baraka Kambi katika uchaguzi uliopangwa kufanyika Julai 10, mwaka huu Jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment