Katika mchezo huo wa marudiano Raundi ya mwisho ya mchujo kuwania tiketi ya Fainali zitakazofanyika Oktoba nchini India, bao pekee la Tanzania lilifungwa na Neema Paul Kinega.
Serengeti Girls inafuzu Fainali za kwanza za Kombe la Dunia kwa ushindi wa jumla wa 5-1 kufuatia kushinda 4-1 kwenye mechi ya kwanza Yaoundé.
0 comments:
Post a Comment