• HABARI MPYA

    Sunday, June 19, 2022

    MATOKEO YA USAILI WA AWALI UCHAGUZI YANGA SC


    KAMATI ya Uchaguzi ya Yanga chini ya Mwenyekiti wake, Malangwe Ally Mchungahela imetoa matokeo ya awali ya Usaili kuelekea uchaguzi wa klabu hiyo Julai 10, mwaka huu.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATOKEO YA USAILI WA AWALI UCHAGUZI YANGA SC Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top