• HABARI MPYA

    Monday, June 27, 2022

    RAIS WA FIFA AIPONGEZA YANGA KWA UBINGWA WA 28


    RAIS wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza klabu ya Yanga kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu, ambao unakuwa ni wa 28 na wa rekodi kwao kihistoria.



    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAIS WA FIFA AIPONGEZA YANGA KWA UBINGWA WA 28 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top