MABINGWA wa Tanzania Bara, Simba SC wameibuka na ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Cambianso Academy katika mchezo was kirafiki Leo Jijini Dar es Salaam. Mabao ya Simba katika mchezo huo yamefungwa na Kibu Denis mawili na lingine Sadio Kanoute, wakati ya Cambianso yote yamefungwa na Simon Msuva.
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment