Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 48 ikiilaza 1-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Kwa matokeo hayo, Spurs inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya kushinda 3-0 na London kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump Jr and 'Doping Olympics' backers left counting brutal losses
after controversial debut Las Vegas event flopped
-
Back in May, the Enhanced Games - which became better known as the 'Doping
Olympics' - invited a roster of athletes to Las Vegas to compete in an
Olympic-s...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment