Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 48 ikiilaza 1-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Kwa matokeo hayo, Spurs inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya kushinda 3-0 na London kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Travis Kelce hit with brutal Patrick Mahomes dig just before Taylor Swift
wedding in New York
-
Swift and Kelce held an intimate rehearsal dinner at Madison Square Garden
on Thursday night before a party at the iconic venue on Friday with 1,000
guests.
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment