Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 48 ikiilaza 1-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Kwa matokeo hayo, Spurs inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya kushinda 3-0 na London kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
As heaven welcomes Pa Amuta
-
By Ingram Osigwe “As a well-spent day brings happy sleep, so a life well
used brings happy death.” – Leonardo da Vinci The timeless quote above
mirrors t...
4 minutes ago
0 comments:
Post a Comment