Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 48 ikiilaza 1-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Kwa matokeo hayo, Spurs inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya kushinda 3-0 na London kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smiling Mo Salah trains with Liverpool team-mates ahead of Tottenham clash,
as he appears to put ugly touchline spat with Jurgen Klopp behind him
-
The forward had an ugly touchline quarrel with manager Jurgen Klopp when
they drew 2-2 with West Ham on Saturday.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment