Harry Kane akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Tottenham Hotspur dakika ya 48 ikiilaza 1-0 Borussia Dortmund katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund. Kwa matokeo hayo, Spurs inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 baada ya kushinda 3-0 na London kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pressure mounts on Bodejo to drop out of Senate race
-
Pressure mounts on Abdullahi Bello Bodejo to quit the Taraba Central
senatorial race after his arrest, detention and alleged pressure to
withdraw.
The p...
12 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment