Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za nne, 11 na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Monaco ya kocha Thierry Henry kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Louis II mjini Monaco. Bao lingine la PSG lilifungwa na Neymar kwa penalti dakika ya 64 na sasa Thierry Henry anafikisha mechi sita tangu aajiriwe Monaco bila ushindi, mbili zilizopita pia akifungwa 4-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
3rd year-anniversary: Tinubu begins commissioning of major roads across
Abuja – Wike
-
From Juliana Taiwo-Obalonye, Abuja President Bola Tinubu will on Tuesday
begin a multi-day commissioning of major infrastructure projects across the
Fede...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment