Mshambuliaji wa Paris St Germain, Edinson Cavani akiondoka na mpira baada ya kufunga mabao matatu peke yake dakika za nne, 11 na 53 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Monaco ya kocha Thierry Henry kwenye mchezo wa Ligue 1 Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Louis II mjini Monaco. Bao lingine la PSG lilifungwa na Neymar kwa penalti dakika ya 64 na sasa Thierry Henry anafikisha mechi sita tangu aajiriwe Monaco bila ushindi, mbili zilizopita pia akifungwa 4-0 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gary Neville hilariously backtracks after claiming Richarlison had 'NUTTED'
Gabriel as fans joke Sky Sports pundit acts like 'he is in the pub reacting
to it'
-
Football fans are all talking about Gary Neville 's commentary slip up
during the north London derby as the former Man United star backtracked on
his comme...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment